MABINGWA wa ligi kuu soka bara Simba na mabingwa klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati 'Kombe la Kagame' Yanga jana wametoshana nguvu kwa kufungana sare ya bao 1-1 katika mchezo wa ligi hiyo uliopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Post a Comment

Previous Post Next Post